Kwa upande wake Waziri Mkuu wa New Zealand Jacinda Ardern, amesema wasafiri wanastahili jiandaa kwa usumbufu kwa mipango yao ya usafiri, patakapo kuwa mlipuko wa COVID-19.
Zaidi ya idadi yamashirika 20 nchini yame omba waziri mpya Linda Reynolds, asitishe mipango ya mageuzi kwa mfumo wa dhamana yakitaifa ya ulemavu maarufu kwa ufupi kama[[NDIS]]. Makundi hayo yana ogopa mageuzi kwa tathmini huru yata ondoa uadilifu wa mfumo wa N-D-I-S pamoja nakudhoufisha uwezo wa washiriki kuweza kufanya uamuzi nakudhibiti maisha yao.
Mzozo kati ya Kenya na Uingereza umeendelea kutokota baada ya serikali ya taifa hilo la Afrika Mashariki kutangaza masharti mapya kwa abiria wanaotoka au kupitia Uingereza. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Wizara Mambo ya Nje ya Kenya, masharti hayo yataanza kutekelezwa kuanzia Aprili 9, 2021, ambayo ni siku ya Ijumaa.