Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Taarifa ya Habari 7 Agosti 2022

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Ziara ya spika wa bunge ya Marekani, yazua tumbojoto kwa mahusiano kati ya Australia na China.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Ziara ya spika wa bunge ya Marekani, yazua tumbojoto kwa mahusiano kati ya Australia na China.


Serikali ya shirikisho imesema mfumo wakutoa alama za ubora kwa makaazi ya huduma ya wazee, unatarajiwa kutumiwa kufikia mwisho wa mwaka huu. Mfumo huu utatoa alama kwa makaazi kwa maswala tofauti ya malezi na huduma, kuruhusu familia zichague makaazi yanayo tosheleza mahitaji yao.

Watu wenye silaha wamewaua watu sita, wakiwemo W]wahindi wawili, katika jimbo la Kogi nchini Nigeria, polisi walisema Jumamosi, huku eneo hilo likikumbwa na ghasia za wanajihadi na magenge.

Wagombea urais nchini Kenya, kiongozi wa chama cha ODM Raila Odinga na Naibu wa Rais William Ruto, Jumamosi walihutubia mikutano yao ya mwisho ya kampeni mjini Nairobi kwelekea kwa uchaguzi mkuu Jumanne wiki ijayo. Kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi, Jumamosi ilikuwa siku ya mwisho kwa wagombea, vyama na miungano ya kisisasa kufanya mikutano ya kampeni kote nchini.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now