Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Taarifa ya habari 8 Novemba 2020

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS Swahili

Biashara jimboni Victoria zakaribisha kuondolewa kwa vizuizi, pamoja nakufutwa kwa kikomo cha kilomita 25 za usafiri.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Biashara jimboni Victoria zakaribisha kuondolewa kwa vizuizi, pamoja nakufutwa kwa kikomo cha kilomita 25 za usafiri.


Watoto jimboni New South Wales watapewa mwaka mmoja wa ziada katika huduma za chekechea, kama sehemu ya mfuko wenye thamani ya dola milioni 120 ambazo zimetolewa na serikali ya jimbo hilo.

Rais mteule wa Marekani Biden na makamu wake, Kamala Harris, wametowa hotuba zao za kwanza za shukrani kufuatia ushindi wao kwenye uchaguzi uliokuwa na mchuano mkali, huku Trump akikataa kuyatambua matokeo hayo.

Rais Mteule John Magufuli Alhamisi ameapishwa kuiongoza tena Tanzania baada ya kushinda Uchaguzi Mkuu nchini humo juma lililopita. Magufuli anaingia katika kipindi cha pili cha uongozi wake huku akitaka taifa hilo kuungana pamoja baada ya uchaguzi wakati upinzani nchini humo ukitangaza kutotambua ushindi wake.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now