Taarifa za habari:Baraza la sekta ya utalii ya Australia, lataka serikali ilipige jeki

Taarifa za habari za SBS Swahili

Taarifa za habari za SBS Swahili Source: SBS News

Baraza la sekta ya utalii ya Australia, ime ihamasisha serikali ya shirikisho itoe mfuko wa msaada, kusaidia sekta hiyo kupona kutoka kwa kupungua kwa idadi ya wageni kutoka China wanao tembelea nchini, baada ya marufuku ya safari zao kutangazwa.


Baadhi ya wabunge katika vyama vya Liberal na Nationals, wanataka Bw McCormack ajiuzulu kama kiongozi wa chama hicho ili amruhusu naibu wake David Littleproud, achukue uongozi wa chama hicho nakurejesha ustawi.

Waziri wa Afya nchini Rwanda Dkt. Diane Gashumba, amejiuzulu kulingana na afisi ya waziri mkuu nchini humo. Kujiuzulu kwake kunajiri wiki moja tu baada ya mawaziri wengine wawili kutangaza kujiuzulu. Evode Uwizeyima, ambaye alikuwa akisimamia maswala ya kisheria alikiri kumpiga mlinzi mmoja. Isaac Munyakazi alijiuzulu kama waziri anayesimamia elimu ya msingi na ile ya upili.

Uganda imewekwa katika hali ya tahadhari ya upungufu wa chakula wakati nzige kutoka jangwani wakiendelea kushambulia wilaya mbalimbali nchini humo.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service