Taarifa za habari:Shughuli yakuwatafuta manusura zaendelea Uvira, DR Congo

Mafuriko Uvira, DR Congo

Watu watafuta hifadhi juu ya mabati katika mafuruko, Uvira Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Source: Sprouting Africa


Serikali ya shirikisho yasema Australia iko katika sehemu imara, yakujibu janga la coronavirus baada ya barakoa na chanjo za mafua za ziada kuwasili nchini. Na wahudumu wa afya kwa maranyingine wamekumbushwa tena, wabaki nyumbani kama wana dalili zozote zaku umwa.

Viongozi wa nchi za Afrika, Benki kuu ya Dunia (WHO) na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) wametoa wito wa hatua ya dharura ya kimataifa kusaidia nchi za Afrika kukabiliana na janga la virusi vya corona.

Waziri wa fedha wa Ujerumani Olaf Scholz amesema katika mahojiano yaliyochapishwa leo Jumapili kuwa huenda nchi hiyo ikaweza kudhibiti athari za kibajeti kutokana na janga la virusi vya corona bila kuvuka viwango vya deni vilivyoidhinishwa iwapo uchumi utarejea katika hali ya kawaida katika nusu ya pili ya mwaka huu.

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service