Taarifa za habari: Vyama vyakisiasa viwili nchini vyapata viongozi wapya

Viongozi wapya wa chama cha Nationals Michael McCormack na David Littleproud

Viongozi wapya wa chama cha Nationals Michael McCormack na David Littleproud, wazungumza na waandishi wa habari ndani ya bunge la taifa mjini Canberra. Source: AAP

Michael McCormack amesalia katika nafasi yake ya uongozi wa chama cha Nationals na Adam Bandt achaguliwa kuongoza chama cha Greens bila kupingwa.


Daniel Arap Moi, rais wa pili wa Kenya ameaga dunia leo Jumanne. Kifo chake kimetangazwa na Rais Uhuru Kenyatta, katika tangazo lililorushwa moja kwa moja na televisheni ya taifa.

Jimbo la Iowa nchini Marekani limeanza zoezi la kuchagua mtu atakayepeperusha bendera ya chama cha Democratic katika uchaguzi wa rais utakaofanyika baadaye mwaka huu.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Taarifa za habari: Vyama vyakisiasa viwili nchini vyapata viongozi wapya | SBS Swahili