Daniel Arap Moi, rais wa pili wa Kenya ameaga dunia leo Jumanne. Kifo chake kimetangazwa na Rais Uhuru Kenyatta, katika tangazo lililorushwa moja kwa moja na televisheni ya taifa.
Taarifa za habari: Vyama vyakisiasa viwili nchini vyapata viongozi wapya

Viongozi wapya wa chama cha Nationals Michael McCormack na David Littleproud, wazungumza na waandishi wa habari ndani ya bunge la taifa mjini Canberra. Source: AAP
Michael McCormack amesalia katika nafasi yake ya uongozi wa chama cha Nationals na Adam Bandt achaguliwa kuongoza chama cha Greens bila kupingwa.
Share