Tanzania yaomboleza kifo cha Reginald Mengi

Reginald Mengi akizungumza na vyombo vya habari nchini Tanzania

Reginald Mengi akizungumza na vyombo vya habari nchini Tanzania Source: mwananchi.co.tz

Kifo cha Reginald Abraham Mengi, kiliwashangaza watanzania wengi duniani kote, Australia ikijumuishwa.


Licha yakuzaliwa katika familia masikini, Reginald Mengi alifanikiwa kuwa mmoja wa wafanyabiashara na tajiri mkubwa nchini Tanzania, na barani Afrika na aliorodheshwa katika orodha yamatajiri ya Forbes.

Dkt Joseph Masika ana asili ya eneo aliko zaliwa marehemu Mengi na amemjua kwa zaidi ya miaka 40. Ali eleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS kuhusu mchango wa Reginald Mengi nchini Tanzania, kuunda ajira pamoja nakuwasaidia vijana walio taka kuwa wajasiriamali kufikia malengo yao.

 

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service