Kifo cha Reginald Abraham Mengi, kiliwashangaza watanzania wengi duniani kote, Australia ikijumuishwa.
Licha yakuzaliwa katika familia masikini, Reginald Mengi alifanikiwa kuwa mmoja wa wafanyabiashara na tajiri mkubwa nchini Tanzania, na barani Afrika na aliorodheshwa katika orodha yamatajiri ya Forbes.
Dkt Joseph Masika ana asili ya eneo aliko zaliwa marehemu Mengi na amemjua kwa zaidi ya miaka 40. Ali eleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS kuhusu mchango wa Reginald Mengi nchini Tanzania, kuunda ajira pamoja nakuwasaidia vijana walio taka kuwa wajasiriamali kufikia malengo yao.
Share






