Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Tanzania yaomboleza kifo cha Reginald Mengi

Reginald Mengi akizungumza na vyombo vya habari nchini Tanzania

Reginald Mengi akizungumza na vyombo vya habari nchini Tanzania Source: mwananchi.co.tz

Kifo cha Reginald Abraham Mengi, kiliwashangaza watanzania wengi duniani kote, Australia ikijumuishwa.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Kifo cha Reginald Abraham Mengi, kiliwashangaza watanzania wengi duniani kote, Australia ikijumuishwa.


Licha yakuzaliwa katika familia masikini, Reginald Mengi alifanikiwa kuwa mmoja wa wafanyabiashara na tajiri mkubwa nchini Tanzania, na barani Afrika na aliorodheshwa katika orodha yamatajiri ya Forbes.

Dkt Joseph Masika ana asili ya eneo aliko zaliwa marehemu Mengi na amemjua kwa zaidi ya miaka 40. Ali eleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS kuhusu mchango wa Reginald Mengi nchini Tanzania, kuunda ajira pamoja nakuwasaidia vijana walio taka kuwa wajasiriamali kufikia malengo yao.

 

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now