Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Tanzania yapata taabu katika kombe la Afrika jijini Sydney

Mwalimu wa Tanzania  azungumza na wachezaji

Mwalimu wa timu ya Tanzania Bw Bonfils, azungumza na wachezaji wakati wa mapumziko ya kombe la Afrika, mjini Rooty Hill, Australia. Source: SBS Swahili

Michuano ya kombe ya Afrika jijini Sydney, ilianza kwa kasi na vichapo katika viwanja vya mazoezi vya Western Sydney Wanderers.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano, Frank Mtao

Source: SBS


Share this with family and friends


Michuano ya kombe ya Afrika jijini Sydney, ilianza kwa kasi na vichapo katika viwanja vya mazoezi vya Western Sydney Wanderers.


Afrika ya kati na mashariki ina wakilishwa na Tanzania, na D R Congo katika michuano hiyo.

Katika mechi ya kwanza ya michuano hiyo, vijana wa Tanzania walikutana na vijana wa Sudan katika dimba hilo, na nyavu za timu hizo mbili, hazikuweza hifadhi siri za yaliyo jiri katika mechi hiyo.

Mwanaspoti wetu Frank Mtao, alihudhuria mechi hiyo nakuzungumza na mashabiki pamoja na mwalimu msaidizi wa Tanzania baada ya mechi hiyo. Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now