Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Tanzania yatengeza historia katika kombe la Afrika la Sydney, NSW

Tanzania na Nigeria zakabiliana katika michuano ya kombe la Afrika la Sydney 2019

Tanzania na Nigeria zakabiliana katika michuano ya kombe la Afrika la Sydney, NSW 2019 Source: ANSA African Cup2019

Shirika la ANSA, huandaa michuano ya soka kwa niaba ya jamii zaki Afrika mjini Sydney, New South Wales.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Shirika la ANSA, huandaa michuano ya soka kwa niaba ya jamii zaki Afrika mjini Sydney, New South Wales.


Katika miaka ya kwanza ya michuano hiyo, Tanzania ilikuwa timu yaku ogopwa ila ukali wao ulififia kila msimu.

Hata hivyo, vijana wa Tanzania wamerejeshea timu yao heshima tena, baada ya miaka kadhaa yakufeli kuondoka katika kundi lao nakutinga robo fainali kwa mara ya kwanza baada ya zaidi ya miaka minane.
Viongozi wa timu ya Tanzania ya Sydney, NSW
Viongozi wa timu ya Tanzania ya Sydney, NSW waonesha furaha yao baada yakutinga robo fainali ya kombe la Afrika la Sydney, NSW 2019. Source: SBS Swahili

Idhaa ya Kiswahili ya SBS, ilizungumza na viongozi wa jamii na timu hiyo, kuhusu hatua hiyo yakihistoria kwa timu ya Tanzania katika michuano hiyo.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now