Tanzania yatengeza historia katika kombe la Afrika la Sydney, NSW

Tanzania na Nigeria zakabiliana katika michuano ya kombe la Afrika la Sydney 2019

Tanzania na Nigeria zakabiliana katika michuano ya kombe la Afrika la Sydney, NSW 2019 Source: ANSA African Cup2019

Shirika la ANSA, huandaa michuano ya soka kwa niaba ya jamii zaki Afrika mjini Sydney, New South Wales.


Katika miaka ya kwanza ya michuano hiyo, Tanzania ilikuwa timu yaku ogopwa ila ukali wao ulififia kila msimu.

Hata hivyo, vijana wa Tanzania wamerejeshea timu yao heshima tena, baada ya miaka kadhaa yakufeli kuondoka katika kundi lao nakutinga robo fainali kwa mara ya kwanza baada ya zaidi ya miaka minane.
Viongozi wa timu ya Tanzania ya Sydney, NSW
Viongozi wa timu ya Tanzania ya Sydney, NSW waonesha furaha yao baada yakutinga robo fainali ya kombe la Afrika la Sydney, NSW 2019. Source: SBS Swahili

Idhaa ya Kiswahili ya SBS, ilizungumza na viongozi wa jamii na timu hiyo, kuhusu hatua hiyo yakihistoria kwa timu ya Tanzania katika michuano hiyo.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service