Mtazamo wa ukuaji wa uchumi wa Tanzania sehemu ya pili

People prepare anchovies, locally called Dagaa, for drying in Zanzibar.Part of this fish is sold to the mainland to Tanzania, Kenia and Zambia. Source: ( (Photo by Oleksandr Rupeta/NurPhoto))
Kumekuwa na maswali mengi juu ya ukuaji wa uchumi wa Tanzania. SBS Swahili ilipata wasaa wa kuzungumza na baadhi ya wafanyabiashara wa kimataifa kuhusiana na mwenendo huo mzima wa uchumi. Na hii hapa ni sehemu ya pili ya mazungumzo hayo.
Share