Nancy Stephen Matowo ni mtafiti na mwanasayansi, katika taasisi ya afya ya Ifakara nchini Tanzania. Alishiriki katika kongamano hilo, ambako alichangia utafiti wake na wanasayansi na watafiti wenzake.
Mtanzania aongoza utafiti waku tokomeza malaria

Nancy Stephen Matowo ni mtafiti na mwanasayansi, katika taasisi ya afta ya fakara, Tanzania Source: Nancy Stephen Matowo
Wanasayansi na watafiti walijumuika mjini Melbourne katika kongamano la kwanza duniani kujadili swala la malaria. Ilikuwa fursa ya walio hudhuria kongamano hilo, kuchangia uzoefu wao pamoja naku jadili mbinu zaku tokomeza malaria.
Share




