Mtanzania aongoza utafiti waku tokomeza malaria

Nancy Stephen Matowo ni mtafiti na mwanasayansi, katika taasisi ya afta ya fakara, Tanzania

Nancy Stephen Matowo ni mtafiti na mwanasayansi, katika taasisi ya afta ya fakara, Tanzania Source: Nancy Stephen Matowo

Wanasayansi na watafiti walijumuika mjini Melbourne katika kongamano la kwanza duniani kujadili swala la malaria. Ilikuwa fursa ya walio hudhuria kongamano hilo, kuchangia uzoefu wao pamoja naku jadili mbinu zaku tokomeza malaria.


Nancy Stephen Matowo ni mtafiti na mwanasayansi, katika taasisi ya afya ya Ifakara nchini Tanzania. Alishiriki katika kongamano hilo, ambako alichangia utafiti wake na wanasayansi na watafiti wenzake.

Bi Nancy ali eleza shirika la habari la SBS Swahili kuhusu utafiti wake nchini Tanzania, pamoja na hatua ambazo zina tekelezwa katika taifa hilo la Mashariki ya Afrika kulisaidia kutokomeza malaria.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service