Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Mtanzania aongoza utafiti waku tokomeza malaria

Nancy Stephen Matowo ni mtafiti na mwanasayansi, katika taasisi ya afta ya fakara, Tanzania

Nancy Stephen Matowo ni mtafiti na mwanasayansi, katika taasisi ya afta ya fakara, Tanzania Source: Nancy Stephen Matowo

Wanasayansi na watafiti walijumuika mjini Melbourne katika kongamano la kwanza duniani kujadili swala la malaria. Ilikuwa fursa ya walio hudhuria kongamano hilo, kuchangia uzoefu wao pamoja naku jadili mbinu zaku tokomeza malaria.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Wanasayansi na watafiti walijumuika mjini Melbourne katika kongamano la kwanza duniani kujadili swala la malaria. Ilikuwa fursa ya walio hudhuria kongamano hilo, kuchangia uzoefu wao pamoja naku jadili mbinu zaku tokomeza malaria.


Nancy Stephen Matowo ni mtafiti na mwanasayansi, katika taasisi ya afya ya Ifakara nchini Tanzania. Alishiriki katika kongamano hilo, ambako alichangia utafiti wake na wanasayansi na watafiti wenzake.

Bi Nancy ali eleza shirika la habari la SBS Swahili kuhusu utafiti wake nchini Tanzania, pamoja na hatua ambazo zina tekelezwa katika taifa hilo la Mashariki ya Afrika kulisaidia kutokomeza malaria.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now