Tathmini yatangazwa kwa tamaduni ya kazi katika bunge la taifa

Kiongozi wa serikali ndani ya Seneti, Simon Birmingham

Kiongozi wa serikali ndani ya Seneti, Simon Birmingham Source: AAP

Serikali ya taifa imetangaza tathmini kwa tamaduni ya kazi ndani ya bunge la taifa.


Tangazo hilo limejiri wakati waziri mkuu Scott Morrison ame weka wazi imani yake kwa waziri wa ulinzi Linda Reynolds, ambaye alilazimishwa kuomba msamaha kwa wathirika wa madai ya ubakaji ambaye alikuwa pia mfanyakazi wake wa zamani.

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Tathmini yatangazwa kwa tamaduni ya kazi katika bunge la taifa | SBS Swahili