TFF yampongeza Mbwana Samatta

Mbwana Samatta

Tanzanian professional footballer who plays as a striker for Belgian side Genk Source: M. Samatta

West Ham ni miongoni mwa vilabu vinavyohusishwa na mshambuliaji wa Genk Mbwana Samatta. Vilabu kadhaa vya Ligi Kuu ya Uingereza vinasemekana kumfuatilia Samatta, ambaye amefurahia msimu wake na Genk.


Samatta amekuwa moto wa kuotea mbali kwa Genk msimu huu na hiyo imezitaahadhirisha baadhi ya vilabu vya Ligi Kuu.

Mchezaji huyo wa Kimataifa wa Tanzania, ambaye ana magoli 33 katika michezo 51, amefunga mara 14 katika michezo 16 tu. Hii ni pamoja na magoli 9 ya Europa League kwa Genk msimu huu 2018-2019.

Frank Mtao alizungumza na msemaji wa Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania, ambaye alikuwa na haya ya kusema ...!

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
TFF yampongeza Mbwana Samatta | SBS Swahili