Changamoto zakuwa na biashara ya taxi

Mvutano katika usafiri wa umma

Mvutano katika usafiri wa umma Source: AAP

Biashara ya taxi, imekuwepo kwa muda mrefu sasa, licha ya changamoto inazokumbana nazo kutoka kwa usafiri - shiriki yaani magari ya Uber, Taxify nakadhalika, lakini bado biashara hii imeendelea kusimama imara.


SBS Swahili, ilifanikiwa kuzungumza na mmoja wa maderava wakongwe wa biashara hii Bwana Lukas Emmanuel Mnandala, ambaye anatupa kiundani juu ya uendeshaji na changamoto wanazokumbana nazo kama alivyohojiwa na Mwandishi wetu Frank Mtao.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service