Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Changamoto zakuwa na biashara ya taxi

Mvutano katika usafiri wa umma

Mvutano katika usafiri wa umma Source: AAP

Biashara ya taxi, imekuwepo kwa muda mrefu sasa, licha ya changamoto inazokumbana nazo kutoka kwa usafiri - shiriki yaani magari ya Uber, Taxify nakadhalika, lakini bado biashara hii imeendelea kusimama imara.


Published

Updated

By Frank Mtao

Presented by Gode Migerano, Frank Mtao

Source: SBS



Share this with family and friends


Biashara ya taxi, imekuwepo kwa muda mrefu sasa, licha ya changamoto inazokumbana nazo kutoka kwa usafiri - shiriki yaani magari ya Uber, Taxify nakadhalika, lakini bado biashara hii imeendelea kusimama imara.


SBS Swahili, ilifanikiwa kuzungumza na mmoja wa maderava wakongwe wa biashara hii Bwana Lukas Emmanuel Mnandala, ambaye anatupa kiundani juu ya uendeshaji na changamoto wanazokumbana nazo kama alivyohojiwa na Mwandishi wetu Frank Mtao.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now