Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Michezo ya Jumuiya yamadola na swala la umuhimu wayo

Wachezaji wafanya mazoezi kabla ya michezo ya jumuiya yamadola kuanza mjini Gold Coast, Australia -1

Wachezaji wafanya mazoezi kabla ya michezo ya jumuiya yamadola kuanza mjini Gold Coast, Australia Source: Getty Images AsiaPac

Zaidi ya timu 70 zita shiriki katika michezo ya 21 ya jumuia yamadola, itakayo anza jumatano tarehe 4 Aprili 2018 mjini Gold Coast, Australia.


Timu hizo kutoka sehemu tofuati duniani, zina kitu kimoja ambacho zinachangia: nchi hizo zote ni nchi wanachama wa jamuia yamadola, nyigiyazo zilikuwa zikimilikiwa zamani na himaya ya Uingereza.

Katika michezo hiyo, mshindi kawaida huwa mmoja tu. Australia.

Na siku hizi, kuna swali moja tu ambalo liko wazi.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now