Michezo ya Jumuiya yamadola na swala la umuhimu wayo

Wachezaji wafanya mazoezi kabla ya michezo ya jumuiya yamadola kuanza mjini Gold Coast, Australia -1

Wachezaji wafanya mazoezi kabla ya michezo ya jumuiya yamadola kuanza mjini Gold Coast, Australia Source: Getty Images AsiaPac

Zaidi ya timu 70 zita shiriki katika michezo ya 21 ya jumuia yamadola, itakayo anza jumatano tarehe 4 Aprili 2018 mjini Gold Coast, Australia.


Timu hizo kutoka sehemu tofuati duniani, zina kitu kimoja ambacho zinachangia: nchi hizo zote ni nchi wanachama wa jamuia yamadola, nyigiyazo zilikuwa zikimilikiwa zamani na himaya ya Uingereza.

Katika michezo hiyo, mshindi kawaida huwa mmoja tu. Australia.

Na siku hizi, kuna swali moja tu ambalo liko wazi.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service