Timu hizo kutoka sehemu tofuati duniani, zina kitu kimoja ambacho zinachangia: nchi hizo zote ni nchi wanachama wa jamuia yamadola, nyigiyazo zilikuwa zikimilikiwa zamani na himaya ya Uingereza.
Katika michezo hiyo, mshindi kawaida huwa mmoja tu. Australia.

