Wahamiaji wanapo wasili katika nchi mpya, wengi wao huwa wanamipango ya muda mrefu, baadhi ya mipango hiyo ina husiana na maisha ya mapya nchini. SBS Swahili ilizungumza na baadhi ya watanzania wanao ishi Australia kuhusu baadhi ya mipango hiyo.
Mazungumzo hayo yalijiri baada ya hatua ya waziri wa Ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi Mh William Lukuvi kufuta hati miliki za baadhi yawa Tanzania ambao walikuwa wame pata uraia pacha "katika hali isiyo halali".
Watanzania wengi wanao ishi nchini Australia wanapo anza kufikiria hatua yaku chukua uraia wa Australia, ni gharama zipi za muda mrefu ambazo huenda zikawakabili?
Share
