Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Kongamano la tatu la ushirikiano kati ya China-Afrika, lafanyika Beijing

Rais wa China Xi Jinping, akutana na viongozi wa Afrika

Rais wa China Xi Jinping, akutana na viongozi wa Afrika Source: Getty Images

Ma rais nama waziri wakuu kutoka barani Afrika walijumuika mjini Beijing, katika kongamano la tatu la ushirikiano katika ya China na Afrika.


Published

Updated

By Peggy Giakoumelos

Presented by Gode Migerano

Source: SBS




Share this with family and friends


Ma rais nama waziri wakuu kutoka barani Afrika walijumuika mjini Beijing, katika kongamano la tatu la ushirikiano katika ya China na Afrika.


Mara ya mwisho kongamano hilo lili andaliwa ilikuwa miaka mitatu iliyo pita, rais wa China Xi Jinping ali ahidi zaidi ya dola bilioni 60 za marekani kupitia mikopo na msaada kwa bara la Afrika.

Viongozi hao nama waziri wao, wanatarajia kupokea misaada mingine tena. Wakazi wa baadhi ya mataifa ya Afrika wame lalamika kuhusu, hatua zakutumia raia wa China katika ujenzi wa miradi, badala yakutoa ajira hizo kwa wenyeji, na kile kinacho dhaniwa kuwa ni mikataba maalum yamakampuni yawa China.

Kuna uwezekano wasi wasi huo utaongezeka, wakati mataifa katika sehemu zingine za dunia, hususan katika jimbo la kusini mashariki Asia, yana anza kuhoji kama msaada wa China unatolewa kwa gharama kubwa.

Kila taifa barani Afrika lili wakilishwa katika kongamano hilo la biashara isipokuwa taifa la eSwatini (ambalo zamani lili julikana kama Swaziland), taifa hilo ndilo mshiriki wa pekee wa jimbo la Taiwan barani Afrika, na kufikia sasa taifa hilo limekataa wito wa China, wakusitisha uhusiano wake na Taiwana nakutambua China badala yake.

Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now