Waziri mkuu alikuwa umbali wa maelfu ya kilomita toka bunge la taifa wiki hii, hata hivyo hakuweza kwepa maswali kuhusu mahojiano yakisiasa yaliyo tazamiwa mwaka huu.
Kama uli ipenda au ulichukia, naibu waziri mkuu wa zamani Barnaby Joyce, alilipwa kufanya mahojiano akiwa pamoja na mchumba wake Vikki Campion, ambaye kwa sasa amejifungua.
Bw Joyce ali eleza kipindi cha "Sunday Night" cha shirika la habari la channel Seven, kuwa alijua kwamba mimba hiyo itasitisha wadhifa wake kama kiongozi wa chaa cha Nationals.
Share






