Tim "bajeti ya leo itasaidia familia nyingi kukabiliana na gharama ya maisha"

ALCbudget2023 BUDGET23 PRINTING

The 2023-2024 Budget Papers are seen at a printing facility prior to being delivered to Parliament House in Canberra, Sunday, May 7, 2023. Source: AAP / MICK TSIKAS/AAPIMAGE

Ma milioni yawa Australia kote nchini wanasubiri kwa hamu tangazo la bajeti, kujua kama wata pata afueni kwa gharama ya maisha.


Licha ya viongozi katika serikali ya shirikisho kudokeza mfuko wakusaidia kukabiliana na shinikizo za gharama ya maisha, upinzani ume ongeza ukosoaji wayo kwa jinsi serikali za Labor husimamia maswala ya uchumi na fedha.

Tim Mudasia ni mtaalam na mchambuzi wamaswala ya uchumi na fedha, katika mahojiano na SBS Swahili alifunguka kuhusu sehemu ambako serikali italenga kusaidia jamii zote kupata afueni kwa gharama ya maisha.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service