Timu mpya za uongozi zatambulishwa katika mwaka mpya wa bunge nchini

Viongozi wapya wa chama cha Nationals Michael McCormack na David Littleproud

Viongozi wapya wa chama cha Nationals Michael McCormack na David Littleproud, wazungumza na waandishi wa habari ndani ya bunge la taifa mjini Canberra. Source: AAP

Imekuwa siku yakushangaza bunge la taifa lilipo fanya kikao cha kwanza mwaka huu, ambapo kulikuwa na uteuzi wa viongonzi wa vyama viwili vyakisiasa.


Kiongozi mpya wa chama cha Greens ni Adam Bandt, na chama cha Nationals kina naibu kiongozi mpya ambaye ni David Littleproud.

Wakati huo huo chama cha upinzani cha shirikisho kimesema lengo la siku ya kwanza ya kikao cha bunge hii leo jumanne, inastahili kuwa kupotezwa kwa maisha, mali na wanyama katika janga la moto wa vichaka.

Nyumba zote za bunge, zili tumia siku ya kwanza kufikisha risala zao kwa janga la moto wa vichaka.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service