Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Timu mpya za uongozi zatambulishwa katika mwaka mpya wa bunge nchini

Viongozi wapya wa chama cha Nationals Michael McCormack na David Littleproud

Viongozi wapya wa chama cha Nationals Michael McCormack na David Littleproud, wazungumza na waandishi wa habari ndani ya bunge la taifa mjini Canberra. Source: AAP

Imekuwa siku yakushangaza bunge la taifa lilipo fanya kikao cha kwanza mwaka huu, ambapo kulikuwa na uteuzi wa viongonzi wa vyama viwili vyakisiasa.


Published

By Stephanie Corsetti

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Imekuwa siku yakushangaza bunge la taifa lilipo fanya kikao cha kwanza mwaka huu, ambapo kulikuwa na uteuzi wa viongonzi wa vyama viwili vyakisiasa.


Kiongozi mpya wa chama cha Greens ni Adam Bandt, na chama cha Nationals kina naibu kiongozi mpya ambaye ni David Littleproud.

Wakati huo huo chama cha upinzani cha shirikisho kimesema lengo la siku ya kwanza ya kikao cha bunge hii leo jumanne, inastahili kuwa kupotezwa kwa maisha, mali na wanyama katika janga la moto wa vichaka.

Nyumba zote za bunge, zili tumia siku ya kwanza kufikisha risala zao kwa janga la moto wa vichaka.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now