Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Ndahiro "kama haumudu sarafu yako hauna uhuru"

Viongozi wa mapinduzi ya serikali ya Niger kwenye tukio lakitaifa.jpg

Mapinduzi ya kijeshi nchini Niger yamezua hali ya wasiwasi, miongoni mwa nchi jirani katika eneo la Sahel.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Mapinduzi ya kijeshi nchini Niger yamezua hali ya wasiwasi, miongoni mwa nchi jirani katika eneo la Sahel.


Sababu kuu ya wasiwasi huu mkubwa ni kwamba ukosefu wa utulivu umeongezeka katika Sahel, jiografia inayoanzia Bahari ya Atlantiki hadi Bahari ya Shamu.

Kabla ya Niger, eneo hilo la Sahel limeshuhudia mapinduzi mengine ya kijeshi yaliyofanyika katika nchi za Burkina Faso na Mali katika miaka mitatu iliyopita.

Bw Tom Ndahiro ni mchambuzi wa maswala yakisiasa nchini Rwanda, alimweleza mwandishi wetu Jason Nyakundi kwa nini nchi ambazo ziko katika ukanda wa Magharibi ya Afrika na Sahel na zilizo tawaliwa na Ufaransa zina endelea kuwa katika hali ya migogoro na mapinduzi yakijeshi.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now