Ndahiro "kama haumudu sarafu yako hauna uhuru"

Viongozi wa mapinduzi ya serikali ya Niger kwenye tukio lakitaifa.jpg

Mapinduzi ya kijeshi nchini Niger yamezua hali ya wasiwasi, miongoni mwa nchi jirani katika eneo la Sahel.


Sababu kuu ya wasiwasi huu mkubwa ni kwamba ukosefu wa utulivu umeongezeka katika Sahel, jiografia inayoanzia Bahari ya Atlantiki hadi Bahari ya Shamu.


Kabla ya Niger, eneo hilo la Sahel limeshuhudia mapinduzi mengine ya kijeshi yaliyofanyika katika nchi za Burkina Faso na Mali katika miaka mitatu iliyopita.

Bw Tom Ndahiro ni mchambuzi wa maswala yakisiasa nchini Rwanda, alimweleza mwandishi wetu Jason Nyakundi kwa nini nchi ambazo ziko katika ukanda wa Magharibi ya Afrika na Sahel na zilizo tawaliwa na Ufaransa zina endelea kuwa katika hali ya migogoro na mapinduzi yakijeshi.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Ndahiro "kama haumudu sarafu yako hauna uhuru" | SBS Swahili