Tony Abbott aonya serikali ya mseto kuhusu hatari yakupoteza uchaguzi mkuu ujao

Waziri Mkuu wa zamani Tony Abbott akiwa na Ray Hadley ndani ya studio ya redio 2GB mjini Sydney

Waziri Mkuu wa zamani Tony Abbott akiwa na Ray Hadley ndani ya studio ya redio 2GB mjini Sydney Source: Picha: AAP

Waziri Mkuu wa zamani Tony Abbott amewaonya wanachama wenzake kuhusu athari yaku poteza uchaguzi mkuu ujao dhidi ya kiongozi wa upinzani Bill Shorten.


Katika mahojiano ambayo yame chapishwa nakutangazwa katika redio, Bw Abbott amesema wapiga kura wame choshwa na serikali ambayo haifanyi kazi ipasavyo.

Bw Abbott amependekeza sera kadhaa mpya, zinazo anzia kwaku punguza idadi yawa hamiaji wanao wasili nchini, kupunguza bei ya nyumba zinazo uzwa, pamoja naku sitisha malengo ya nishati mbadala.

 

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service