Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Tony Abbott aonya serikali ya mseto kuhusu hatari yakupoteza uchaguzi mkuu ujao

Waziri Mkuu wa zamani Tony Abbott akiwa na Ray Hadley ndani ya studio ya redio 2GB mjini Sydney

Waziri Mkuu wa zamani Tony Abbott akiwa na Ray Hadley ndani ya studio ya redio 2GB mjini Sydney Source: Picha: AAP

Waziri Mkuu wa zamani Tony Abbott amewaonya wanachama wenzake kuhusu athari yaku poteza uchaguzi mkuu ujao dhidi ya kiongozi wa upinzani Bill Shorten.


Published

Updated

By SBS Swahlii

Source: SBS



Share this with family and friends


Waziri Mkuu wa zamani Tony Abbott amewaonya wanachama wenzake kuhusu athari yaku poteza uchaguzi mkuu ujao dhidi ya kiongozi wa upinzani Bill Shorten.


Katika mahojiano ambayo yame chapishwa nakutangazwa katika redio, Bw Abbott amesema wapiga kura wame choshwa na serikali ambayo haifanyi kazi ipasavyo.

Bw Abbott amependekeza sera kadhaa mpya, zinazo anzia kwaku punguza idadi yawa hamiaji wanao wasili nchini, kupunguza bei ya nyumba zinazo uzwa, pamoja naku sitisha malengo ya nishati mbadala.

 

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now