Waziri Mkuu wa zamani Tony Abbott amewaonya wanachama wenzake kuhusu athari yaku poteza uchaguzi mkuu ujao dhidi ya kiongozi wa upinzani Bill Shorten.
Katika mahojiano ambayo yame chapishwa nakutangazwa katika redio, Bw Abbott amesema wapiga kura wame choshwa na serikali ambayo haifanyi kazi ipasavyo.
Bw Abbott amependekeza sera kadhaa mpya, zinazo anzia kwaku punguza idadi yawa hamiaji wanao wasili nchini, kupunguza bei ya nyumba zinazo uzwa, pamoja naku sitisha malengo ya nishati mbadala.
Share





