Tony Shihemi afunguka kuhusu hasara za biashara wakati wa vizuizi vya Uviko-19

Tony Shihemi aongoza mazoezi

Tony Shihemi aongoza mazoezi Source: Tony Shihemi

Wajasiriamali wengi wana endelea kuhesabu hasara walizo pata, wakati wa vizuizi vya UVIKO-19 nchini Australia.


Tony Shihemi ni mjasiriamali ambaye biashara yake yakusaidia watu kufanya mazoezi ilikuwa nawateja wengi sana kabla ya mlipuko wa janga la UVIKO-19.

Baada ya mlipuko wa janga la UVIKO-19 pamoja na vizuizi vilivyo fuata kudhibiti usambaaji wa virusi hivyo, Bw Shihemi pamoja na wajasiriamali wenza walijipata katika hali ngumu iliyo walazimisha kufunga milango ya biashara zao kwa muda usiojulikana.

Je! Bw Shihemi yuko tayari kufungua milango ya biashara yake tena baada ya malengo ya utoaji wa chanjo jimboni humo kutimizwa? Bw Shihemi alieleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS kuhusu mipango yake yakuwapokea wateja tena, punde baada ya mamlaka husika kutoa idhini. Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Tony Shihemi afunguka kuhusu hasara za biashara wakati wa vizuizi vya Uviko-19 | SBS Swahili