Nchini Australia, majanga ya asili ni tishio la kila mwaka.
Moto wa vichaka, ukame, joto kali, vimbunga pamoja na mafuriko husababisha uharibifu nchini kote, matukio kadhaa mara nyingi hupiga kanda tofauti mara moja.
Baadhi ya wanachama wa jamii inayo zungumza Kiswahili wanao ishi mjini Townsville, North Queensland, wali eleza idhaa ya Kiswahili ya SBS jinsi walivyo okolewa nyumba yao ilipo kabiliwa kwa mafuriko hayo.
Share






