Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Viongozi waomboleza kifo cha katibu mkuu wa zamani wa umoja wa mataifa Kofi Annan

Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa Kofi Annan katika ziara ya kasri ya Elysee, Ufaransa 2017.

Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa Kofi Annan katika ziara ya kasri ya Elysee, Ufaransa 2017. Source: AAP

Viongozi wa mataifa mbali mbali duniani wame toa heshima zao kwa, katibu mkuu wa umoja wa mataifa wa zamani Kofi Annan, ambaye ame aga dunia akiwa na umri wa miaka 80.


Published

Updated

By Sonja Heydeman

Presented by Gode Migerano

Source: SBS




Share this with family and friends


Viongozi wa mataifa mbali mbali duniani wame toa heshima zao kwa, katibu mkuu wa umoja wa mataifa wa zamani Kofi Annan, ambaye ame aga dunia akiwa na umri wa miaka 80.


Bw Annan amekumbukwa kama, "sauti yakimaadili ya dunia".

Bw Annan, aliongoza kampeni zaku jaribu kumaliza migogoro barani Africa, Asia, na mashariki ya kati kwa miongo kadhaa.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now