Viongozi waomboleza kifo cha katibu mkuu wa zamani wa umoja wa mataifa Kofi Annan

Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa Kofi Annan katika ziara ya kasri ya Elysee, Ufaransa 2017.

Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa Kofi Annan katika ziara ya kasri ya Elysee, Ufaransa 2017. Source: AAP

Viongozi wa mataifa mbali mbali duniani wame toa heshima zao kwa, katibu mkuu wa umoja wa mataifa wa zamani Kofi Annan, ambaye ame aga dunia akiwa na umri wa miaka 80.


Bw Annan amekumbukwa kama, "sauti yakimaadili ya dunia".

Bw Annan, aliongoza kampeni zaku jaribu kumaliza migogoro barani Africa, Asia, na mashariki ya kati kwa miongo kadhaa.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service