Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Trump, Morrison wazungumzia uundaji wa ajira katika kiwanda kinacho milikiwa namuAustralia nchini Marekani

Raisi wa Marekani Donald Trump na Waziri Mkuu wa Australia Scott Morrison

Scott Morrison and Donald Trump are on a joint ticket when it comes to China. Source: AAP

Scott Morrison na Donald Trump wame hamisha ziara yao ya marekani katika ukanda wakatimagharibi ya nchi hiyo.


Published

By Allan Lee

Presented by Gode Migerano

Source: SBS




Share this with family and friends


Scott Morrison na Donald Trump wame hamisha ziara yao ya marekani katika ukanda wakatimagharibi ya nchi hiyo.


Viongozi hao wawili walihudhuria sherehe yakufungua kiwanda cha karatasi kinacho milikiwa na muAustralia, katika mji mdogo wa Wapakoneta ambao uko katika jimbo la Ohio.

Siku ya Bw Morrison iliendelea kwa safari ya ndege kuelekea Chicago ambako, atachangia mlo na gavana wa jimbo la Illinois.

Na jana jumatatu katika masaa ya marekani, Bw Morrison alizungumza katika shirika la baraza la maswala ya dunia la Chicago.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now