Trump, Morrison wazungumzia uundaji wa ajira katika kiwanda kinacho milikiwa namuAustralia nchini Marekani

Raisi wa Marekani Donald Trump na Waziri Mkuu wa Australia Scott Morrison

Scott Morrison and Donald Trump are on a joint ticket when it comes to China. Source: AAP

Scott Morrison na Donald Trump wame hamisha ziara yao ya marekani katika ukanda wakatimagharibi ya nchi hiyo.


Viongozi hao wawili walihudhuria sherehe yakufungua kiwanda cha karatasi kinacho milikiwa na muAustralia, katika mji mdogo wa Wapakoneta ambao uko katika jimbo la Ohio.

Siku ya Bw Morrison iliendelea kwa safari ya ndege kuelekea Chicago ambako, atachangia mlo na gavana wa jimbo la Illinois.

Na jana jumatatu katika masaa ya marekani, Bw Morrison alizungumza katika shirika la baraza la maswala ya dunia la Chicago.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service