Mama ya mwanajeshi wa Marekani aliyekuwa Muislamu na ambaye ali uawa nchini Iraq, amemshtumu mgombea wa Urais wa chama cha Republican Donald Trump kwakuto elewa maana yakafara.
Madai hayo yame jiri baada ya Bw Trump kumkejeli mwanamke huyo kwaku simama kimya kando ya mumewe, alipokuwa akihotubia kongamano la wanachama wa Demokrats, kuhusu mwanao wakiume wiki jana.
Share
