Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Trump kujiondoa katika kampeni ya urais?

Mgombea wa chama cha Republican Donald Trump katika mdahalo wa pili wa urais
Mgombea wa chama cha Republican Donald Trump katika mdahalo wa pili wa urais Source: AAP

Mgombea wa chama cha Republican Donald Trump na mpinzani wake wa chama cha Democratic Hillary Clinton wameshiriki katika mdahalo wa pili kabla ya uchaguzi mkuu wa urais wa Novemba.


Published

Updated

By SBS Swahili

Source: SBS



Share this with family and friends


Mgombea wa chama cha Republican Donald Trump na mpinzani wake wa chama cha Democratic Hillary Clinton wameshiriki katika mdahalo wa pili kabla ya uchaguzi mkuu wa urais wa Novemba.


Wagombea hao wawili walikabiliana vikali katika mada kama ulipaji kodi, sera zakigeni na katika mikanda ya video iliyovujwa ambapo Trump alisikika akijivunia jinsi huwa anawadhalilisha wanawake.

Hali hiyo imesababisha baadhi ya vigogo wa Republican kuondoa uungaji mkono wao kwa Bw Trump katika ugombea wa Urais.

Wiki chache zinasalia kabla ya siku rasmi ya kura ya urais, je Donald Trump atajinusuru au kashfa zinazo mkabili zime zika matumaini yake?

 


Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now