Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Tunaweza tarajia nini katika bajeti ya taifa ya 2023?

BUDGET23 JIM CHALMERS PORTRAIT

Australian Treasurer Jim Chalmers poses for a portrait in front of the Treasury building in Canberra, Thursday, May 4, 2023. (AAP Image/Lukas Coch) NO ARCHIVING Source: AAP / LUKAS COCH/AAPIMAGE

Serikali ya shirikisho ita toa bajeti ya 2023-24 hii leo Jumanne 9 Mei 2023.


Published

Updated

By Hannah Kwon

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Serikali ya shirikisho ita toa bajeti ya 2023-24 hii leo Jumanne 9 Mei 2023.


Mweka hazina amesema gharama ya maisha kwa wa Australia ambao wako katika mazingira magumu itashughulikiwa, pamoja na nyongeza kwa mshahara kwa wafanyakazi wa huduma yawazee pamoja na huduma ya malezi ya watoto kwa bei nafuu.

Ila kwa kutokana na kupanda kwa mfumuko wa bei, na kukwama kwa mazungumzo kuhusu makazi yakijamii na afueni kwa kodi za nyumba, Jim Chalmers anakazi ngumu mbele yake.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now