Tunaweza tarajia nini katika bajeti ya taifa ya 2023?

BUDGET23 JIM CHALMERS PORTRAIT

Australian Treasurer Jim Chalmers poses for a portrait in front of the Treasury building in Canberra, Thursday, May 4, 2023. (AAP Image/Lukas Coch) NO ARCHIVING Source: AAP / LUKAS COCH/AAPIMAGE

Serikali ya shirikisho ita toa bajeti ya 2023-24 hii leo Jumanne 9 Mei 2023.


Mweka hazina amesema gharama ya maisha kwa wa Australia ambao wako katika mazingira magumu itashughulikiwa, pamoja na nyongeza kwa mshahara kwa wafanyakazi wa huduma yawazee pamoja na huduma ya malezi ya watoto kwa bei nafuu.

Ila kwa kutokana na kupanda kwa mfumuko wa bei, na kukwama kwa mazungumzo kuhusu makazi yakijamii na afueni kwa kodi za nyumba, Jim Chalmers anakazi ngumu mbele yake.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service