Serikali imefanikiwa kuboresha bajeti kwa bilioni 11, baada yaku afikiana na chama cha Labor katika sera ya mapato yawa staafu pamoja na makato ya bajeti ndani ya Seneti.
Na wakati serikali inajivunia mafanikio yake, chama cha Labor kime mpoteza mbunge mwenye cheo kikuu.
Share

