Serikali ya Australia ime toa onya kuwa huenda bajeti isirejeshwe katika hali ya ziada tena, kwa sababu ya kasi ya mapato kuongezeka polepole.
Serikali ya mseto inawa hamasisha ma seneta waisaidie kupitisha miswada muhimu katika vikao vya bunge katika wiki za mwisho wa mwaka, kwa ajili yaku saidia kukarabati bajeti.
Share
