Kanda ya video ime onesha watoto ndani ya kituo cha kizuizi cha vijana ambacho kiko mjini Darwin kaskazini ya Australia, waki adhibiwa kwa gesi yakutoa machozi.
Imeripotiwa kuwa idadi kubwa ya wavulana walio oneshwa katika kanda hiyo ya video, wame achwa wakiwa na matatizo mengi na wame elezea jinsi walivyo stahimili mazingira mabaya na adhabu mbaya, zilizo jumuisha kutengwa na wenzao wakiwa gerezani.
Share

