Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Turnbull awakosoa wahadhina nchini katika sherehe mjini London

Waziri Mkuu wa Australia Malcolm Turnbull (kushoto) amsalimia Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May

Waziri Mkuu wa Australia Malcolm Turnbull (kushoto) amsalimia Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May Source: Picha: AAP

Waziri Mkuu Malcolm Turnbull ame wakosoa wakosoaji wake katika mrengo wa wahafidhina wa chana cha Liberal katika hotuba yake mjini London.


Published

Updated

By SBS Swahlii

Source: SBS




Share this with family and friends


Waziri Mkuu Malcolm Turnbull ame wakosoa wakosoaji wake katika mrengo wa wahafidhina wa chana cha Liberal katika hotuba yake mjini London.


Bw Turnbull amesema nia ya mwanzilishi wa chama cha Liberals Robert Menzies, haikuwa kufanya chama chake kiwe chaki hafidhina na ameongezea kuwa mahala pazuri pakuwa nikatika mrengo wa kati wa siasa.

 

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now