Bw Turnbull amesema nia ya mwanzilishi wa chama cha Liberals Robert Menzies, haikuwa kufanya chama chake kiwe chaki hafidhina na ameongezea kuwa mahala pazuri pakuwa nikatika mrengo wa kati wa siasa.
Turnbull awakosoa wahadhina nchini katika sherehe mjini London
Waziri Mkuu wa Australia Malcolm Turnbull (kushoto) amsalimia Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May Source: Picha: AAP
Waziri Mkuu Malcolm Turnbull ame wakosoa wakosoaji wake katika mrengo wa wahafidhina wa chana cha Liberal katika hotuba yake mjini London.
Share




