Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Ubadhilifu wa fedha Tanzania Part 2

Sehemu ya mji na bandari ya Dar es Salaam kutoka angani

Sehemu ya mji na bandari ya Dar es Salaam kutoka angani Source: Getty Images/MOIZ HUSEIN

Je, nini hatma ya ubadhilifu uliobainishwa na TAKUKURU kuhusiana na fedha zilizoelekezwa kufanya miradi ya maendeleo?


Published

Updated

By Frank Mtao

Source: SBS



Share this with family and friends


Je, nini hatma ya ubadhilifu uliobainishwa na TAKUKURU kuhusiana na fedha zilizoelekezwa kufanya miradi ya maendeleo?


Katika maamuzi ya mwanzo ya Mh Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania, ni kuruhusu mamlaka kuchunguza kwa kina ubadhilifu wa pesa ndani ya serikali uliopelekea kuzorotesha baadhi ya miradi ya maendeleo.

SBS ilipata fursa kuongea na wafanyabishara kujua maoni yao juu ya athari za ubadhilifu huo baada ya taarifa za mwanzo kukabidhiwa kwa Mh Rais Samia wa Tanzania.

Nawe waweza kushiriki nasi kwa kutoa maoni yako kupitia ukurasa huu


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now