Wa Australia wote wenye miaka 18 na zaidi, wanatarajiwa kushiriki katika mchakato huu wa lazima wakupiga kura na, wanaweza pewa faini wasipo piga kura.
Makala haya yana maelezo zaidi kuhusu jinsi mchakato wakupiga kura hutumika nchini Australia.
Wapiga kura ndani ya kituo chakupiga kura. Source: AAP
Makala haya yana maelezo zaidi kuhusu jinsi mchakato wakupiga kura hutumika nchini Australia.
SBS World News