Uhuru amtangaza Raila kuwa kinara wa mseto wa AZIMIO LA UMOJA katika uchaguzi mkuu

Vinara wa vyama vya mseto wa Azimio la Umoja kwenye kampeni

Vinara wa vyama vya mseto wa Azimio la Umoja kwenye kampeni Source: Statehouse Kenya

Joto la siasa nchini Kenya laendelea kuongezeka baada ya mseto wa Azimio kumuidhinisha Raila Odinga kuwa kinara wao katika uchaguzi mkuu 9 Agosti 2022.


Licha ya tangazo hilo kuwa siri la wazi kwa muda mrefu, hatimae Rais Uhuru Kenyatta alimtangaza mtani wake wa jadi Raila, kuwa anaye pendelea kurithi wadhifa wake nakuendeleza maendeleo nchini Kenya.

Tangazo hilo lilikuwa na maana pia kuwa matumaini ya kinara wa chama cha Wiper, Kalonzo Musyoka kuwania Urais wa Kenya, itabidi yasubiri kwa miaka mingine mitano, baada ya chama chake kujiunga katika mseto wa Azimio ambao utamenyana na mseto wa UDA katika uchaguzi mkuu.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Uhuru amtangaza Raila kuwa kinara wa mseto wa AZIMIO LA UMOJA katika uchaguzi mkuu | SBS Swahili