UNHCR yapewa siku 14 kufunga kambi za Dadaab na Kakuma nchini Kenya

Wakimbizi wapiga foleni kupokea vyakula

Participants join the queue for water and food distribution in Kakuma Refugee Camp, Kenya. (SBS) Source: SBS

Serikali ya Kenya imetoa muda wa siku 14 kwa shirika la umoja wa mataifa kuhusu wakimbizi UNHCR, kuzifunga kambi za wakimbizi za Daadab na Kakuma kufuatia vitisho vya kiusalama vinavyosababishwa na baadhi ya wakimbizi.


Hatua ya serikali ya Kenya kutoa muda huo wa wiki mbili kwa shirika la UNHCR kufunga kambi hizo za wakimbizi, imetafsiriwa kama iliyochochewa na mgogoro baina yake na Somalia.

Serikali ya Kenya na ya Somalia, zimekuwa katika mgogoro wa kidiplomasia baada ya Somalia kuishitumu Kenya kwa kuingilia maswala yake ya ndani.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service