Umoja, furaha, ajira: ligi ya soka inayokuza siku za usoni

Wavulana wafanya mazoezi ya soka uwanjani

Wavulana wafanya mazoezi ya soka uwanjani Source: SBS

Kundi la viongozi wa jamii mjini Melbourne linatoa mafunzo na mwongozo kwa kizazi kipya chawa Australia wenye asili ya Sudan Kusini, kupitia mchezo wa mpira wa miguu.


Mradi huo unawavutia mamia yawachezaji na watazamaji katika michezo kila wikendi, na ligi hiyo kwa sasa inawasaidia vijana kupata ajira na elimu, wanapo endelea kukabiliana na picha hasi ya jamii yao katika umma.

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service