Mradi huo unawavutia mamia yawachezaji na watazamaji katika michezo kila wikendi, na ligi hiyo kwa sasa inawasaidia vijana kupata ajira na elimu, wanapo endelea kukabiliana na picha hasi ya jamii yao katika umma.

Wavulana wafanya mazoezi ya soka uwanjani Source: SBS