Kiongozi wa chama cha One Nation Pauline Hanson ametetea hatua yake yaku ingia bungeni akiwa amevaa baibui akisisitiza hatua hiyo ili husu usalama wa taifa.
Seneta huyo wa chama cha One Nation, alivaa baibui bungeni kabla ya mjadala kuanza mjini Canberra, kuhusu kupiga marufuku mavazi yanayo fiche uso katika maeneo ya umma.
Hatua hiyo imekosolewa vikali na pande zote za siasa, hata hivyo Pauline Hanson amesema haja aibishwa hata kidogo na alicho fanya.
Share





