Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Hanson azua utata ndani ya Seneti

Kiongozi wa chama cha One Nation Pauline Hanson ndani ya Seneti, Canberra

Kiongozi wa chama cha One Nation Pauline Hanson ndani ya Seneti, Canberra Source: Picha: AAP

Kiongozi wa chama cha One Nation Pauline Hanson ametetea hatua yake yaku ingia bungeni akiwa amevaa baibui akisisitiza hatua hiyo ili husu usalama wa taifa.


Published

Updated

By SBS Swahlii

Source: SBS




Share this with family and friends


Kiongozi wa chama cha One Nation Pauline Hanson ametetea hatua yake yaku ingia bungeni akiwa amevaa baibui akisisitiza hatua hiyo ili husu usalama wa taifa.


Seneta huyo wa chama cha One Nation, alivaa baibui bungeni kabla ya mjadala kuanza mjini Canberra, kuhusu kupiga marufuku mavazi yanayo fiche uso katika maeneo ya umma.

Hatua hiyo imekosolewa vikali na pande zote za siasa, hata hivyo Pauline Hanson amesema haja aibishwa hata kidogo na alicho fanya.

 

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now