Hanson azua utata ndani ya Seneti

Kiongozi wa chama cha One Nation Pauline Hanson ndani ya Seneti, Canberra

Kiongozi wa chama cha One Nation Pauline Hanson ndani ya Seneti, Canberra Source: Picha: AAP

Kiongozi wa chama cha One Nation Pauline Hanson ametetea hatua yake yaku ingia bungeni akiwa amevaa baibui akisisitiza hatua hiyo ili husu usalama wa taifa.


Seneta huyo wa chama cha One Nation, alivaa baibui bungeni kabla ya mjadala kuanza mjini Canberra, kuhusu kupiga marufuku mavazi yanayo fiche uso katika maeneo ya umma.

Hatua hiyo imekosolewa vikali na pande zote za siasa, hata hivyo Pauline Hanson amesema haja aibishwa hata kidogo na alicho fanya.

 

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service