Maandamano yaibuka katika maeneo yanayo athiriwa kwa ebola nchini DRC, baada ya kuahirishwa kwa uchaguzi mkuu

Waandamanaji waonesha hisia zao kuhusu kuahirishwa kwa uchaguzi mjini Beni, DR Congo

Waandamanaji waonesha hisia zao kuhusu kuahirishwa kwa uchaguzi mjini Beni, DR Congo Source: AAP

Waandamanaji nchini jamuhuri yakidemokrasia ya Congo, wame shambulia kituo kinacho tumiwa kuchunguza kesi za ebola, baada yaku kasirishwa kwa majaribo yaku watenga katika mchakato wakupiga kura katika uchaguzi wa urais nchini humo.


Uchaguzi huo ambao mara ya kwanza uliratibiwa kufanywa mwaka wa 2016, uli ahirishwa mara kadhaa na sasa, sehemu za nchi hiyo zina kumbwa kwa vurugu pamoja na madai ya ufisadi.

D-R Congo haija wahi kuwa na ukabidhaji wa mamlaka tangu nchi hiyo ilipo pata uhuru toka kwa ubelgiji mnamo mwaka wa 1960. Machafuko mapya yame jiri wakati serikali ime amuru umoja ulaya, iondoe mjumbe wake nchini humo.

Hatua hiyo imejiri kulipiza kisasi, kwa vikwazo ambavyo muungano wa ulaya imewekea maafisa 14 wa serikali, ambao wanajumuisha waziri wa zamani wa mambo ya ndani wa rais Kabila.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service