Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Maandamano yaibuka katika maeneo yanayo athiriwa kwa ebola nchini DRC, baada ya kuahirishwa kwa uchaguzi mkuu

Waandamanaji waonesha hisia zao kuhusu kuahirishwa kwa uchaguzi mjini Beni, DR Congo

Waandamanaji waonesha hisia zao kuhusu kuahirishwa kwa uchaguzi mjini Beni, DR Congo Source: AAP

Waandamanaji nchini jamuhuri yakidemokrasia ya Congo, wame shambulia kituo kinacho tumiwa kuchunguza kesi za ebola, baada yaku kasirishwa kwa majaribo yaku watenga katika mchakato wakupiga kura katika uchaguzi wa urais nchini humo.


Published

By Evan Young

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Waandamanaji nchini jamuhuri yakidemokrasia ya Congo, wame shambulia kituo kinacho tumiwa kuchunguza kesi za ebola, baada yaku kasirishwa kwa majaribo yaku watenga katika mchakato wakupiga kura katika uchaguzi wa urais nchini humo.


Uchaguzi huo ambao mara ya kwanza uliratibiwa kufanywa mwaka wa 2016, uli ahirishwa mara kadhaa na sasa, sehemu za nchi hiyo zina kumbwa kwa vurugu pamoja na madai ya ufisadi.

D-R Congo haija wahi kuwa na ukabidhaji wa mamlaka tangu nchi hiyo ilipo pata uhuru toka kwa ubelgiji mnamo mwaka wa 1960. Machafuko mapya yame jiri wakati serikali ime amuru umoja ulaya, iondoe mjumbe wake nchini humo.

Hatua hiyo imejiri kulipiza kisasi, kwa vikwazo ambavyo muungano wa ulaya imewekea maafisa 14 wa serikali, ambao wanajumuisha waziri wa zamani wa mambo ya ndani wa rais Kabila.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now