Uongozi wa Evariste Ndayishimiye utatofautianaje nawa Nkurunziza?

Rais Mteule wa Burundi, Jenerali mstaafu Evariste Ndayishimiye

Rais Mteule Jenerali mstaafu Evariste Ndayishimiye katika kampeni ya uchaguzi wa urais wa Burundi Source: Evariste Ndayishimiye

Kifo cha Rais Peter Nkurunziza kime iweka Burundi katika utata wakikatiba.


Alexis Yesashimwe ni mchambuzi wamaswala yakisiasa nakikatiba kutoka Burundi, yeye pia ni mtaalam wamaswala yamariadhiano. Bw Yesashimwe ni mwanabodi pia wa shirika la Resilience International.

Katika mazungumzo na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, Bw Yesashimwe aliweka wazi jinsi katiba ya nchi hiyo inavyo tabiriwa kwa swala kama hili, pamoja na hatua ambayo mahakama yakikatiba ya Burundi imechukua kumaliza sintofahamu ambayo kifo cha Rais Nkurunziza kime zua nchini humo.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Uongozi wa Evariste Ndayishimiye utatofautianaje nawa Nkurunziza? | SBS Swahili