Ila Urusi ume onya Marekani kuhusu matokeo mabaya yatakayo jiri, iwapo Marekani itafanya shambulizi dhidi ya serikali ya Syria.
Staffan de Mistura ndiye mjumbe maalum wa umoja wa mataifa, ame omba baraza la usalama lifanyie madai ya shambulizi hilo uchunguzi wa kina.





