Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Ushoga sasa waweza gharimu hukumu ya kifo Uganda

Uganda Anti Gay Law

FILE - Activists hold placards during their picket against Uganda's anti-homosexuality bill at the Ugandan High Commission in Pretoria, South Africa on April 4, 2023. Uganda's president Yoweri Museveni has signed into law tough new anti-gay legislation supported by many in the country but widely condemned by rights activists and others abroad, it was announced Monday, May 29, 2023. (AP Photo/Themba Hadebe, File) Source: AP / Themba Hadebe/AP

Uganda imepitisha sheria kali dhidi ya kundi la watu wanao jitambua kama LGBTIQ+, hatua ambayo imevutia ukosoaji mkali kutoka mataifa ya magharibi pamoja wana harakati barani Africa.


Published

Updated

By Essam Al-Ghalib

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Uganda imepitisha sheria kali dhidi ya kundi la watu wanao jitambua kama LGBTIQ+, hatua ambayo imevutia ukosoaji mkali kutoka mataifa ya magharibi pamoja wana harakati barani Africa.


Sheria hiyo inajumuisha adhabu ya kifo, kwa kile ambacho sheria hiyo mpya ina ita ushoga uliokithiri.

Sheria hiyo imezua wasiwasi kuhusu kuongezeka kwa vurugu, ubaguzi na ukiukwaji wa haki za binadam dhidi ya jamii ambayo ime tengwa zaidi ya LGBTIQ+ nchini Uganda na katika kanda zima.

Sheria hiyo imetoa hukumu ya kifo kwa ushoga ulio kithiri, na kwa wanao sambaza magonjwa yanayo sababisha kifo kama Ukimwi kupitia kujamiana kwa watu wa jinsia sawia.

Sheria hiyo inatoa hukumu pia ya kifungo gerezani cha miaka 20, kwa kukuza ushoga.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now