Serikali zamajimbo na mikoa nchini Australia, zimeruhusu watu wengi zaidi wafanyiwe vipimo vya coronavirus.
Je utaratibu wakufanyiwa vipimo hivyo ni upi, na baada ya sampuli kuchukuliwa ni hatua gani hufuata kubaini kama una virusi hivyo au la?
Elizabeth Muruka ni mwanasayansi anaye fanya kazi katika maabara yahospitali moja mjini Canberra, Australia.
Aliwekea wazi idhaa ya Kiswahili, hali inavyokuwa ndani ya maabara punde tu sampuli hizo zinapo wasili.
Share





