Je utaratibu wakufanyiwa vipimo hivyo ni upi, na baada ya sampuli kuchukuliwa ni hatua gani hufuata kubaini kama una virusi hivyo au la?
Elizabeth Muruka ni mwanasayansi anaye fanya kazi katika maabara yahospitali moja mjini Canberra, Australia.
Afisa wa afya achukua sampuli ya vipimo vya Covid-19 ndani ya mdomo wa mwanamke Afrika Kusini. Source: AP
Elizabeth Muruka ni mwanasayansi anaye fanya kazi katika maabara yahospitali moja mjini Canberra, Australia.
SBS World News