VAR yamkinga mwalimu wa Wanderers dhidi ya hasira yamashabiki

Kwame Yeboah asherehekea goli lake

Mshambuliaji wa Western Sydney Wanderers FC, Kwame Yeboah asherehekea goli lake dhidi ya Wellington Phoenix. Source: Getty Images

Mwalimu wa Western Sydney Wanderers FC, Carl Robinson amejipata chini ya shinikizo zito hivi karibuni, baada ya timu yake kuwa na matokeo mengi mabaya.


Wadau wengi na mashabiki wa soka nchini Australia, walikuwa tayari wame anza kuhesabu siku zake katika wadhifa huo.

Gumzo lilikuwa limeanza tena baada ya wageni Wellington Phoenix, kuongoza mapema katika mechi yao dhidi ya wenyeji Wanderers katika uwanja wa wenyeji, mashabiki wakianza kuelekeza hasira zao kwa mwalimu na viongozi wengine wa timu.

Baadhi ya mashabiki wa timu hiyo, wali eleza Idha ya Kiswahiil ya SBS, hisia zao kuhusu mwalimu na timu yao pamoja na mechi walio shuhudia, ambako technolojia ili ingilia kati kusaidia timu hiyo kupata ushindi ambao ilihitaji na pengine kuokoa kazi ya mwalimu na wasaidizi wake.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
VAR yamkinga mwalimu wa Wanderers dhidi ya hasira yamashabiki | SBS Swahili