Idhaa ya Kiswahili ya SBS, ilihudhuria michuano hiyo nakuzungumza na baadhi ya washiriki wa michuano hiyo katika viwanja vya mazoezi vya Western Sydney Wanderers FC.
Vijana wa D.R Congo wa wapa vijana wa Misri kichapo cha kihistoria

Charles Lokolingoy akabwa na wachezaji wa Misri Source: African Cup NSW
Michuano ya mpira wa miguu ya kombe la Afrika jimboni NSW, yalinusurika kutofanyika kwa sababu ya vizuizi vya UVIKO-19.
Share