Michuano ya mpira wa miguu ya kombe la Afrika jimboni NSW, yalinusurika kutofanyika kwa sababu ya vizuizi vya UVIKO-19.
Idhaa ya Kiswahili ya SBS, ilihudhuria michuano hiyo nakuzungumza na baadhi ya washiriki wa michuano hiyo katika viwanja vya mazoezi vya Western Sydney Wanderers FC.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.
Share






