Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Vikao vya Bunge ya Shirikisho vya anza tena baada ya mapumziko ya majira ya baridi

robodebt

Vikao vya bunge la shirikisho vime anza tena baada ya likizo ya mwezi mzima, kwa kiongozi wa upinzani Peter Dutton na waziri mkuu wa zamani Scott Morrison kuzungumzia shutma zilizo tolewa wakati wa likizo kuhusu mienendo yao ya awali.


Published

Updated

By Soofia Tariq

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Vikao vya bunge la shirikisho vime anza tena baada ya likizo ya mwezi mzima, kwa kiongozi wa upinzani Peter Dutton na waziri mkuu wa zamani Scott Morrison kuzungumzia shutma zilizo tolewa wakati wa likizo kuhusu mienendo yao ya awali.


Serikali ya Labor inatarajiwa pia kuwasilisha muswada wayo wa nyumba, ambao umekwama ndani ya seneti na pia itawasilisha muswada wakuongeza malipo ya Jobseeker.

Mawaziri wa zamani wa chama cha Liberal wamejibu shtuma za makosa dhidi yao walipokuwa mamlakani, muda mfupi baada ya vikao vya bunge kuanza baada ya likizo ya wiki tano.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now