Vikao vya Bunge ya Shirikisho vya anza tena baada ya mapumziko ya majira ya baridi

robodebt

Credit: pat forrest

Vikao vya bunge la shirikisho vime anza tena baada ya likizo ya mwezi mzima, kwa kiongozi wa upinzani Peter Dutton na waziri mkuu wa zamani Scott Morrison kuzungumzia shutma zilizo tolewa wakati wa likizo kuhusu mienendo yao ya awali.


Serikali ya Labor inatarajiwa pia kuwasilisha muswada wayo wa nyumba, ambao umekwama ndani ya seneti na pia itawasilisha muswada wakuongeza malipo ya Jobseeker.

Mawaziri wa zamani wa chama cha Liberal wamejibu shtuma za makosa dhidi yao walipokuwa mamlakani, muda mfupi baada ya vikao vya bunge kuanza baada ya likizo ya wiki tano.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Vikao vya Bunge ya Shirikisho vya anza tena baada ya mapumziko ya majira ya baridi | SBS Swahili