Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Vikundi vya huduma ya afya ya akili, vyakaribisha ahadi mpya kutoka serikali

Government commits to tackling depression and suicide

Government commits to tackling depression and suicide Source: AAP

Makundi yanayo toa misaada ya afya ya akili yamekaribisha ahadi ya serikali ya shirikisho, kuweka kipaumbele kwa jitahada zakuzuia nakuingilia kati mapema visa vya unyogovu na kujiua.


Published

By Abbie O'Brien

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Makundi yanayo toa misaada ya afya ya akili yamekaribisha ahadi ya serikali ya shirikisho, kuweka kipaumbele kwa jitahada zakuzuia nakuingilia kati mapema visa vya unyogovu na kujiua.


Wiki hii, tume ya uzalishaji ilitoa ripoti mbili muhimu kwa afya ya akili nakujiua, ripoti hiyo imetoa mapendekezo kwa jinsi yaku toa mageuzi ambayo yame elezewa kuwa, yanahitajika sana katika sekta hiyo.

Ripoti hiyo ili elezea mahitaji yakuwa na mageuzi ni muhimu zaidi, ukizingatia madhara ya janga kwa afya ya akili pamoja na, ukame unao endelea, na moto wa vichaka wa msimu wa majira ya joto uliopita ambao ulisababisha uharibifu mkubwa.

Imeongezea kuwa matukio haya yame waathiri wa Australia wengi sana, kama nikupitia hatua zakujitenga kijamii, kupoteza ajira, nyumba, kuyumba kifedha au vurugu ya nyumbani.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now