Viongozi wa Afrika wasisitiza bara lipewe nafasi yakudumu katika baraza la usalama la Umoja wa Mataifa

Kongamano la 35 la Umoja wa Afrika

Wawakilishi kutoka nchi wanachama washiriki katika kongamano la 35 la Umoja wa Afrika mjini Addis Ababa, Ethiopia. Source: Getty

Mada kadhaa zimejadiliwa katika kongamano la 35 la Umoja wa Afrika, moja kati yao ikiwa ni ombi la bara la Afrika lipewe nafasi yakudumu katika baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.


Ma bara ya Afrika, na Amerika Kusini ndiyo tu ambayo hayana uwakilishi wakudumu katika baraza la usalama la umoja wa mataifa. Bara la Asia nilawakilishwa na China, wawakilishi wa Ulaya wakiwa: Ufaransa, Uingereza na Urusi na mwanachama wa tano wakudumu katika baraza la usalama ni Marekani.

Kongamano hilo lili jadili pia mbinu zaku kabili usambaaji wa maambukizi ya virusi vya UVIKO-19, upatikanaji wa chanjo za UVIKO-19 pamoja na migogoro inayo endelea kuzikabili baadhi ya nchi barani Afrika, wenyeji wa kongamano hilo Ethiopia wakiwemo katika orodha hiyo.

Ungana na mwandishi wetu Jason Nyakundi kwa taarifa hii.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service