Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Viongozi wa upinzani wakamatwa Tanzania baada yakupinga matokeo ya uchaguzi mkuu

Mgombea wa CHADEMA, Tundu Lissu katika kampeni ya rais

Mgombea wa CHADEMA, Tundu Lissu katika kampeni ya rais Source: Tundu Lissu

Hali inaendelea kuwa tata kwa viongozi wa upinzani nchini Tanzania, wengi wao wakijipata chini ya udhibiti wa vyombo vya usalama nchini humo.


Published

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Hali inaendelea kuwa tata kwa viongozi wa upinzani nchini Tanzania, wengi wao wakijipata chini ya udhibiti wa vyombo vya usalama nchini humo.


Hatua hiyo imejiri baada ya viongozi hao kupinga matokeo ya uchaguzi mkuu, yaliyo mpa mgombea wa Chama Cha Mapinduzi John Magufuli ushindi.

Vingozi wa upinzani wamedai kuwa uchaguzi huo haukuwa wa haki wala huru, na wanataka uchaguzi mpya uandaliwe. Viongozi hao pia wame wahamasisha wafuasi wao wajiunge nao katika maandamano dhidi ya matokeo hayo.

Bofya hapo juu usikie makala ambayo mwandishi wetu Jason Nyakundi ameandaa kwa hoja hii.

 

 

 

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now