Hatua hiyo imejiri baada ya viongozi hao kupinga matokeo ya uchaguzi mkuu, yaliyo mpa mgombea wa Chama Cha Mapinduzi John Magufuli ushindi.
Vingozi wa upinzani wamedai kuwa uchaguzi huo haukuwa wa haki wala huru, na wanataka uchaguzi mpya uandaliwe. Viongozi hao pia wame wahamasisha wafuasi wao wajiunge nao katika maandamano dhidi ya matokeo hayo.