Viongozi wa upinzani wakamatwa Tanzania baada yakupinga matokeo ya uchaguzi mkuu

Mgombea wa CHADEMA, Tundu Lissu katika kampeni ya rais

Mgombea wa CHADEMA, Tundu Lissu katika kampeni ya rais Source: Tundu Lissu

Hali inaendelea kuwa tata kwa viongozi wa upinzani nchini Tanzania, wengi wao wakijipata chini ya udhibiti wa vyombo vya usalama nchini humo.


Hatua hiyo imejiri baada ya viongozi hao kupinga matokeo ya uchaguzi mkuu, yaliyo mpa mgombea wa Chama Cha Mapinduzi John Magufuli ushindi.

Vingozi wa upinzani wamedai kuwa uchaguzi huo haukuwa wa haki wala huru, na wanataka uchaguzi mpya uandaliwe. Viongozi hao pia wame wahamasisha wafuasi wao wajiunge nao katika maandamano dhidi ya matokeo hayo.

Bofya hapo juu usikie makala ambayo mwandishi wetu Jason Nyakundi ameandaa kwa hoja hii.

 

 

 

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service